Na Bakari Mwakangwale
JUMUIYA ya Wanataaluma wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO), inatarajia kufanya Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa viongozi wapya wa Kitaifa, sambamba na kutoa sura mpya ya kiutendaji.
Na Bakari Mwakangwale
JUMUIYA ya Wanataaluma wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO), inatarajia kufanya Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa viongozi wapya wa Kitaifa, sambamba na kutoa sura mpya ya kiutendaji.