SIPRI: Saudia inaongoza ununuaji silaha duniani
Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI), imetangaza kuwa Saudi Arabia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani.
Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI), imetangaza kuwa Saudi Arabia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani.
Taasisi za utafiti Marekani hupanga sera dhidi ya harakati za Kiislamu
Na Bakari Mwakangwale
MAUAJI dhidi ya Waislamu yanayotokea katika nchi nyingi hivi sasa, yanatokana na chuki, wengine wakiita ‘Islamphobia’