Urusi yajibu vitisho vya Makombora vya Marekani
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Urusi imetangaza kuwa, nchi hiyo haitafumbia jicho vitisho vya makombora ya Marekani.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Urusi imetangaza kuwa, nchi hiyo haitafumbia jicho vitisho vya makombora ya Marekani.
Na Bakari Mwakangwale
WAKATI inaelekea kutimia miaka 50 toka kifo chake, inaonyesha Marehemu Abdulwahid Sykes, ni shujaa wa harakati za Uhuru wa Tanganyika aliyesa haulika katiki historia ya Taifa lake
Na Nizar K Visram, Dar es Salaam
HIVI karibuni nchi yetu imeingiliwa na utamaduni mpya wa kamari iliyoingizwa nchini na makampuni ya kigeni. Tumeona jinsi vijana wetu wakitumbukia katika mtindo huu wa maisha, wakishawishiwa na matangazo ya redio na runinga.
Na Sheikh Abdirahim Swaleh Sayid-
Shukurani zote anastahiki Mwenyezi Mungu mola wa ulimwengu wote rehema na amani zimfikie Kipenzi chetu Muhammad (s.a.w) na swahaba zake.
Rais Mwinyi, ACT mmepatia
Uchaguzi 2020 tuwe makini na wasaka ‘tonge’.