Na Bint Ally Ahmed
Waislamu wametakiwa kushukuru kwa kuachiwa huru Masheikh 36 wa Uamsho waliokuwa wakishikiliwa katika Gereza la jiji la Dar es Salaam, lakini wakatakiwa kuongeza
harakati za kupigania haki za idadi kubwa ya Waislamu na Masheikh wanaoendelea kushikiliwa kwa muda mrefu sasa katika magereza mbalimbali nchini.